Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ 2 Petro 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wapendwa, hii sasa ndiyo barua ya pili ninayowaandikia ninyi, ambayo katika hiyo, kama katika ile yangu ya kwanza,+ ninaamsha uwezo wenu mzuri wa kufikiri kwa njia ya kikumbusho,+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
3 Wapendwa, hii sasa ndiyo barua ya pili ninayowaandikia ninyi, ambayo katika hiyo, kama katika ile yangu ya kwanza,+ ninaamsha uwezo wenu mzuri wa kufikiri kwa njia ya kikumbusho,+