Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wakati wa mchana Yehova ataamuru fadhili zake zenye upendo,+

      Na wakati wa usiku wimbo wake utakuwa nami;+

      Kutakuwako sala kwa Mungu wa uhai wangu.+

  • Zaburi 63:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wakati ninapokukumbuka kitandani mwangu,+

      Wakati wa makesha ya usiku natafakari juu yako.+

  • Isaya 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki