1 Samweli 25:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+ Danieli 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo wakati huo, kwa shauri na akili,+ Danieli akamzungumzia Arioko mkuu wa walinzi wa mfalme, aliyekuwa ameenda kuwaua watu wenye hekima wa Babiloni.
33 Busara yako na ibarikiwe,+ nawe ubarikiwe, ambaye umenizuia leo nisiingie katika hatia ya damu+ na kuacha mkono wangu mwenyewe uniokoe.+
14 Ndipo wakati huo, kwa shauri na akili,+ Danieli akamzungumzia Arioko mkuu wa walinzi wa mfalme, aliyekuwa ameenda kuwaua watu wenye hekima wa Babiloni.