Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nawe umpe mtumishi wako moyo mtiifu ili awahukumu+ watu wako, atambue kati ya mema na mabaya;+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu+ hawa watu wako walio wagumu?”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa unipe hekima na ujuzi+ ili nitoke mbele ya watu hawa na ili niingie ndani,+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?”+

  • Zaburi 94:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Yule anayeyarekebisha mataifa, je, hawezi kukaripia,+

      Naam, Yule anayewafundisha wanadamu ujuzi?+

  • Danieli 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye anabadili nyakati na majira,+ akiondoa wafalme na kuwasimamisha wafalme,+ akiwapa hekima wenye hekima na kuwapa ujuzi wale wanaojua utambuzi.+

  • Wafilipi 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na hili ndilo ninaloendelea kusali, kwamba upendo wenu uwe mwingi+ hata zaidi na zaidi pamoja na ujuzi sahihi+ na utambuzi kamili;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki