Mwanzo 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa nao wakaanza kutambua kwamba walikuwa uchi.+ Kwa hiyo wakashona majani ya mtini ya kujifunika kiunoni.+ Zaburi 25:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Mungu wangu, nimekutegemea wewe;+Ee nisione aibu.Adui zangu na wasishangilie juu yangu.+ Zaburi 119:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo singeona aibu,+Ninapozitazama amri zako zote.+ 1 Yohana 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa hiyo sasa, watoto wadogo,+ kaeni katika muungano+ na yeye, ili wakati atakapofunuliwa+ sisi tuwe na uhuru wa kusema+ na tusipate aibu kutoka kwake katika kuwapo+ kwake.
7 Ndipo macho yao wote wawili yakafunguliwa nao wakaanza kutambua kwamba walikuwa uchi.+ Kwa hiyo wakashona majani ya mtini ya kujifunika kiunoni.+
28 Kwa hiyo sasa, watoto wadogo,+ kaeni katika muungano+ na yeye, ili wakati atakapofunuliwa+ sisi tuwe na uhuru wa kusema+ na tusipate aibu kutoka kwake katika kuwapo+ kwake.