Hesabu 29:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “‘Hayo mtamtolea Yehova kwenye sherehe zenu za majira,+ mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ yakiwa matoleo yenu ya kuteketezwa+ na matoleo yenu ya nafaka+ na matoleo yenu ya kinywaji+ na dhabihu zenu za ushirika.’”+ Zaburi 50:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+ Hosea 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Chukueni maneno pamoja nanyi mrudi kwa Yehova.+ Mwambieni hivi, enyi nyote, ‘Samehe kosa letu;+ na ukubali lililo jema, nasi tutatoa ng’ombe-dume wachanga wa midomo yetu.+ Waebrania 13:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+
39 “‘Hayo mtamtolea Yehova kwenye sherehe zenu za majira,+ mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ yakiwa matoleo yenu ya kuteketezwa+ na matoleo yenu ya nafaka+ na matoleo yenu ya kinywaji+ na dhabihu zenu za ushirika.’”+
23 Yule anayetoa shukrani zikiwa dhabihu yake ndiye anayenitukuza;+Naye anayedumisha njia iliyowekwa,Nitamfanya aone wokovu wa Mungu.”+
2 Chukueni maneno pamoja nanyi mrudi kwa Yehova.+ Mwambieni hivi, enyi nyote, ‘Samehe kosa letu;+ na ukubali lililo jema, nasi tutatoa ng’ombe-dume wachanga wa midomo yetu.+
15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+