2 Samweli 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+Kulingana na usafi wangu mbele za macho yake.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+