Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 44:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana mtumwa wako alijitoa kuwa dhamana+ ya mvulana huyu awapo mbali na baba yake, akisema, ‘Nisipomrudisha kwako, basi nitakuwa nimemtendea baba yangu dhambi milele.’+

  • Ayubu 17:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tafadhali, weka rehani yangu kwako.+

      Kuna nani mwingine atakayenisalimu kwa mkono+ kuwa rehani?

  • Isaya 38:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+

      Ninaendelea kulia kama njiwa.+

      Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+

      ‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+

  • Filemoni 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mimi Paulo ninaandika kwa mkono wangu mwenyewe:+ Nitalilipa​—⁠mbali na kukuambia hilo, hata na wewe mwenyewe ni deni langu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki