Mwanzo 44:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa maana mtumwa wako alijitoa kuwa dhamana+ ya mvulana huyu awapo mbali na baba yake, akisema, ‘Nisipomrudisha kwako, basi nitakuwa nimemtendea baba yangu dhambi milele.’+ Ayubu 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tafadhali, weka rehani yangu kwako.+Kuna nani mwingine atakayenisalimu kwa mkono+ kuwa rehani? Isaya 38:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+ Filemoni 19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mimi Paulo ninaandika kwa mkono wangu mwenyewe:+ Nitalilipa—mbali na kukuambia hilo, hata na wewe mwenyewe ni deni langu.
32 Kwa maana mtumwa wako alijitoa kuwa dhamana+ ya mvulana huyu awapo mbali na baba yake, akisema, ‘Nisipomrudisha kwako, basi nitakuwa nimemtendea baba yangu dhambi milele.’+
14 Kama barawai, teleka, ndivyo ninavyoendelea kulia;+Ninaendelea kulia kama njiwa.+ Macho yangu yametazama kwa udhaifu kileleni:+‘Ee Yehova, ninakandamizwa. Simama upande wangu.’+
19 Mimi Paulo ninaandika kwa mkono wangu mwenyewe:+ Nitalilipa—mbali na kukuambia hilo, hata na wewe mwenyewe ni deni langu.