Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa unipe hekima na ujuzi+ ili nitoke mbele ya watu hawa na ili niingie ndani,+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?”+

  • Zaburi 119:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  34 Unifanye nielewe, ili nipate kuishika sheria yako+

      Nami nipate kuishika kwa moyo wote.+

  • 2 Timotheo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Fikiria daima yale ninayosema; kwa kweli Bwana atakupa wewe utambuzi+ katika mambo yote.

  • Yakobo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, ikiwa yeyote kati yenu anakosa hekima,+ na aendelee kumwomba Mungu,+ kwa maana yeye huwapa wote kwa ukarimu na bila kushutumu;+ naye atapewa hiyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki