Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa sababu ni neno la Yehova ambalo amedharau+ na ni amri yake ambayo amevunja,+ nafsi hiyo lazima itakatiliwa mbali.+ Kosa lake mwenyewe liko juu yake.’”+

  • Isaya 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nayo nchi imechafuliwa chini ya wakaaji wake,+ kwa maana wamezivunja sheria,+ wamelibadili sharti,+ wamevunja agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 33:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Njia kuu zimefanywa ukiwa;+ mwenye kutembea juu ya njia amekoma.+ Amelivunja agano;+ ameyadharau majiji;+ hamhesabu kuwa kitu mwanadamu anayeweza kufa.+

  • Mathayo 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na kwa sababu ya kuongezeka kwa uasi-sheria+ upendo wa walio wengi zaidi utapoa.+

  • 1 Timotheo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 kwa kujua jambo hili, kwamba sheria huwekwa, si kwa ajili ya mtu mwadilifu, bali kwa ajili ya watu wenye kuasi sheria+ na watundu,+ wasiomwogopa Mungu na watenda-dhambi, wasio na fadhili zenye upendo,+ na wenye kutia unajisi, wauaji wa akina baba na wauaji wa akina mama, wenye kuua watu wengine,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki