Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+

      Neno la Yehova limetakaswa.+

      Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+

  • Zaburi 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Maneno ya Yehova ni maneno safi,+

      Kama fedha iliyosafishwa katika tanuru ya kuyeyushia kwenye udongo, iliyosafishwa mara saba.

  • Zaburi 18:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+

      Neno la Yehova limetakaswa.+

      Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+

  • Zaburi 119:160
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 160 Kiini cha neno lako ni kweli,+

      Na kila uamuzi wako wa hukumu wa uadilifu ni wa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Methali 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kila neno la Mungu ni safi.+ Yeye ni ngao kwao wanaomkimbilia.+

  • Yohana 17:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Watakase+ kwa njia ya ile kweli; neno+ lako ni kweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki