2 Samweli 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+ Wafilipi 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa mambo yote nina nguvu kupitia yeye anayenipa nguvu.+ Waebrania 11:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+
19 Naye Daudi akaanza kumuuliza+ Yehova, akisema: “Je, nipande kwenda kupigana na Wafilisti? Je, utawatia mkononi mwangu?” Ndipo Yehova akamwambia Daudi: “Panda uende, kwa maana bila shaka nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”+
34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+