16 Basi akamwongoza, akashuka,+ na tazama, walikuwa wameenea bila utaratibu juu ya uso wote wa nchi, wakila na kunywa na kufanya karamu+ kwa sababu ya nyara yote kubwa ambayo walikuwa wamechukua kutoka katika nchi ya Wafilisti na nchi ya Yuda.+
3 Umelifanya hilo taifa kuwa na watu wengi;+ umefanya kuwe na shangwe kuu kwa ajili yake.+ Wameshangilia mbele zako kama kwa shangwe ya wakati wa mavuno,+ kama wale walio na shangwe wakati wanapogawana nyara.+