Zaburi 101:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika nyumba yangu hatakaa mtu yeyote anayefanya ujanja.+Na yeyote anayesema uwongo, hatafanywa imara+Mbele za macho yangu.+ Zaburi 119:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Uniondolee njia ya uwongo,+Na kunipa kibali kwa sheria yako.+ Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+
7 Katika nyumba yangu hatakaa mtu yeyote anayefanya ujanja.+Na yeyote anayesema uwongo, hatafanywa imara+Mbele za macho yangu.+
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+