Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 25:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+ Zaburi 99:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika nguzo ya wingu aliendelea kusema nao.+Walishika vikumbusho vyake na sharti alilowapa.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
10 Mapito yote ya Yehova ni fadhili zenye upendo na ukweliKwa wale wanaoshika agano lake+ na vikumbusho vyake.+