Zaburi 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Geuka kutoka katika yaliyo mabaya, na kufanya yaliyo mema;+Utafute amani, na kuifuatia.+ Mathayo 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Wenye furaha ni wale wanaofanya amani,+ kwa kuwa wataitwa ‘wana+ wa Mungu.’ Waebrania 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Fuatilieni amani pamoja na watu wote,+ na utakaso+ ambao bila huo hakuna mtu atakayemwona Bwana,+ 1 Petro 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+
11 bali na ageuke kutoka katika yaliyo mabaya+ na kufanya yaliyo mema; na atafute amani na kuifuatilia.+