Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 8:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 basi usikie ukiwa mbinguni sala yao na ombi lao la kutaka kibali, nawe ufanye hukumu kwa ajili yao.+

  • Zaburi 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sauti yangu nitamwita Yehova,

      Naye atanijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.+ Sela.

  • Zaburi 46:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+

      Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wa

      taabu.+

  • Isaya 41:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana mimi, Yehova Mungu wako, ninaushika mkono wako wa kuume,+ Mwenye kukuambia, ‘Usiogope.+ Mimi mwenyewe nitakusaidia.’+

  • Yeremia 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami+ kama mwenye nguvu anayetisha.+ Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+ Hakika watapatwa na aibu kabisa, kwa sababu hawatakuwa wamefanikiwa. Fedheha yao inayodumu mpaka wakati usio na kipimo haitasahauliwa.+

  • Danieli 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini mara Danieli alipojua kwamba maandishi hayo yametiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, kisha, huku madirisha yaliyo katika chumba chake cha dari yakiwa yamefunguliwa kwa ajili yake kuelekea Yerusalemu,+ alikuwa akipiga magoti na kusali+ mara tatu kwa siku+ na kutoa sifa mbele za Mungu wake,+ kama vile alivyokuwa akifanya kwa ukawaida kabla ya hayo.+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki