Isaya 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mimi, Yehova, ninamlinda yeye.+ Nitamnywesha maji kila wakati.+ Ili yeyote asielekeze fikira zake kupigana naye, nitamlinda usiku na mchana.+ Isaya 40:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+
3 Mimi, Yehova, ninamlinda yeye.+ Nitamnywesha maji kila wakati.+ Ili yeyote asielekeze fikira zake kupigana naye, nitamlinda usiku na mchana.+
28 Je, hujajua au, je, hujasikia?+ Yehova, Muumba wa miisho ya dunia, ni Mungu mpaka wakati usio na kipimo.+ Yeye hachoki wala hazimii.+ Haiwezekani kuchunguza kikamilifu uelewaji wake.+