5 pia juu ya kila mahali palipofanywa imara pa Mlima Sayuni+ na juu ya mahali pake pa mkusanyiko hakika Yehova ataumba wingu wakati wa mchana na moshi, na mwangaza wa moto unaowaka+ wakati wa usiku;+ kwa sababu kutakuwa na kificho juu ya utukufu wote.+
4 Kwa maana umekuwa ngome kwa mtu wa hali ya chini, ngome kwa maskini katika taabu aliyo nayo,+ kimbilio kutokana na dhoruba ya mvua, kivuli+ kutokana na joto, wakati mlipuko wa wenye kuonea ni kama dhoruba ya mvua juu ya ukuta.