Zaburi 91:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wala tauni inayotembea gizani,+Wala maangamizi yanayopora katikati ya mchana.+ Isaya 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+ Ufunuo 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hawatakuwa na njaa tena wala kuwa na kiu tena, wala jua halitawachoma wala joto lolote lenye kuunguza,+
10 Hawatakuwa na njaa,+ wala kuwa na kiu,+ wala joto kali na jua halitawaunguza.+ Kwa maana Yeye anayewahurumia atawaongoza,+ naye atawaelekeza karibu na mabubujiko ya maji.+
16 Hawatakuwa na njaa tena wala kuwa na kiu tena, wala jua halitawachoma wala joto lolote lenye kuunguza,+