Ayubu 31:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ikiwa nilikuwa nikiona nuru wakati ilipowaka,Au mwezi wenye fahari ukisonga,+ Zaburi 91:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hutaogopa kitu chochote chenye kutia hofu wakati wa usiku,+Wala mshale+ unaoruka mchana,