Zaburi 91:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hakuna msiba utakaokuangukia,+Na hata pigo halitakaribia hema lako.+ Methali 12:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hakuna kitu chochote chenye kudhuru kitakachompata mwadilifu,+ lakini waovu ndio watakaojazwa misiba.+
21 Hakuna kitu chochote chenye kudhuru kitakachompata mwadilifu,+ lakini waovu ndio watakaojazwa misiba.+