Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+

      Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+

      Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+

      Naye atasema, ‘Waangamize!’+

  • Zaburi 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+

      Na yeye huwaokoa.+

  • Zaburi 46:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+

      Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela.

  • Isaya 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 pia juu ya kila mahali palipofanywa imara pa Mlima Sayuni+ na juu ya mahali pake pa mkusanyiko hakika Yehova ataumba wingu wakati wa mchana na moshi, na mwangaza wa moto unaowaka+ wakati wa usiku;+ kwa sababu kutakuwa na kificho juu ya utukufu wote.+

  • Isaya 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kama ndege wanaoruka, vivyo hivyo Yehova wa majeshi atamlinda Yerusalemu.+ Atamlinda, yeye pia hakika atamkomboa.+ Atamwokoa, pia atamponya.”

  • Zekaria 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nami mwenyewe nitakuwa kwake,” asema Yehova, “ukuta wa moto kuzunguka pande zote,+ nami nitakuwa utukufu ndani yake.” ’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki