Methali 22:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeye anayepanda ukosefu wa uadilifu atavuna madhara,+ lakini fimbo ya ghadhabu yake itafikia mwisho wake.+ Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu! Isaya 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova ameivunja fimbo ya waovu, fimbo ya wanaotawala,+
8 Yeye anayepanda ukosefu wa uadilifu atavuna madhara,+ lakini fimbo ya ghadhabu yake itafikia mwisho wake.+
5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!