Methali 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mkabidhi Yehova mwenyewe kazi zako+ nayo mipango yako itafanywa imara.+ Isaya 62:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+ “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+ Yeremia 51:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Inueni ishara+ juu ya kuta za Babiloni. Yatieni malindo nguvu.+ Wekeni walinzi. Watayarisheni wale wanaovizia.+ Kwa maana Yehova ametunga wazo naye pia hakika atafanya lile alilosema juu ya wakaaji wa Babiloni.”+ Ezekieli 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, sema na wana wa watu wako,+ nawe uwaambie,“‘Kwa habari ya nchi, ikiwa nitauleta upanga+ juu yake na watu wa nchi, kila mmoja, wamchukue mtu na kumweka kuwa mlinzi wao,+
6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+ “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+
12 Inueni ishara+ juu ya kuta za Babiloni. Yatieni malindo nguvu.+ Wekeni walinzi. Watayarisheni wale wanaovizia.+ Kwa maana Yehova ametunga wazo naye pia hakika atafanya lile alilosema juu ya wakaaji wa Babiloni.”+
2 “Mwana wa binadamu, sema na wana wa watu wako,+ nawe uwaambie,“‘Kwa habari ya nchi, ikiwa nitauleta upanga+ juu yake na watu wa nchi, kila mmoja, wamchukue mtu na kumweka kuwa mlinzi wao,+