Zaburi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kamba za Kaburi* zilinizunguka;+Mitego ya kifo ilinikabili.+ Zaburi 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Taabu za moyo wangu zimeongezeka;+Uniondoe katika mikazo iliyo juu yangu.+ Zaburi 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+Kutoka katika matope ya nchi.+Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+Akazifanya imara hatua zangu.+ Zaburi 71:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa sababu umenifanya nione taabu nyingi na misiba,+Unifufue tena;+Na unipandishe tena kutoka katika vilindi vya maji vya dunia.+ Maombolezo 3:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Nimeita jina lako, Ee Yehova, kutoka katika shimo la chini kabisa.+ Yona 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+ Waebrania 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.
2 Yeye pia akaniinua kutoka katika shimo lenye kunguruma,+Kutoka katika matope ya nchi.+Kisha yeye akainua miguu yangu juu ya mwamba;+Akazifanya imara hatua zangu.+
20 Kwa sababu umenifanya nione taabu nyingi na misiba,+Unifufue tena;+Na unipandishe tena kutoka katika vilindi vya maji vya dunia.+
2 na kusema:“Katika taabu yangu nilimwita Yehova,+ naye akanijibu.+Katika tumbo la Kaburi* nilililia msaada.+Ulisikia sauti yangu.+
7 Katika siku za mwili wake wenye nyama Kristo alitoa dua na pia maombi+ kwa Yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka katika kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu+ na machozi, naye akasikiwa vizuri kwa sababu ya kumwogopa+ Mungu.