Zaburi 119:147 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 147 Nimeamka mapema wakati wa mapambazuko ya asubuhi,+ ili nipate kulilia msaada.+Kwa maana nimeyangojea maneno yako.+ Isaya 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akaita kama simba:+ “Ee Yehova, juu ya mnara wa mlinzi ninasimama sikuzote wakati wa mchana, na kwenye kituo changu cha ulinzi ninasimama kila usiku.+
147 Nimeamka mapema wakati wa mapambazuko ya asubuhi,+ ili nipate kulilia msaada.+Kwa maana nimeyangojea maneno yako.+
8 Naye akaita kama simba:+ “Ee Yehova, juu ya mnara wa mlinzi ninasimama sikuzote wakati wa mchana, na kwenye kituo changu cha ulinzi ninasimama kila usiku.+