Mathayo 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+ 1 Wakorintho 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Akina ndugu, msiwe watoto wachanga katika nguvu za uelewaji,+ lakini iweni watoto kuhusiana na ubaya;+ hata hivyo iweni watu wazima katika nguvu za uelewaji.+
3 na kusema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Msipogeuka na kuwa kama watoto wachanga,+ hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.+
20 Akina ndugu, msiwe watoto wachanga katika nguvu za uelewaji,+ lakini iweni watoto kuhusiana na ubaya;+ hata hivyo iweni watu wazima katika nguvu za uelewaji.+