2 Mambo ya Nyakati 6:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Ee Yehova Mungu, usiugeuze nyuma uso wa mtiwa-mafuta wako.+ Ee uzikumbuke fadhili zenye upendo kwa Daudi mtumishi wako.”+ Zaburi 89:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini wewe—wewe umetupilia mbali nawe unaendelea kuchukia;+Umemkasirikia mtiwa-mafuta wako.+ Waebrania 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uliupenda uadilifu, nawe ukauchukia uasi-sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+
42 Ee Yehova Mungu, usiugeuze nyuma uso wa mtiwa-mafuta wako.+ Ee uzikumbuke fadhili zenye upendo kwa Daudi mtumishi wako.”+
9 Uliupenda uadilifu, nawe ukauchukia uasi-sheria. Ndiyo sababu Mungu, Mungu wako, alikutia mafuta+ kwa mafuta ya kushangilia kuliko wenzako.”+