Zaburi 35:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+ Zaburi 109:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wale wanaonipinga na wavikwe fedheha,+Na acha wavae wenyewe aibu yao kana kwamba ni koti lisilo na mikono.+
26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+
29 Wale wanaonipinga na wavikwe fedheha,+Na acha wavae wenyewe aibu yao kana kwamba ni koti lisilo na mikono.+