Zaburi 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+ Zaburi 95:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu+Na Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote,+ Zaburi 97:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;+Wewe uko juu sana katika kupanda kwako, juu ya miungu mingine yote.+
3 Kwa maana Yehova ni Mungu mkuu+Na Mfalme mkuu juu ya miungu mingine yote,+ Zaburi 97:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;+Wewe uko juu sana katika kupanda kwako, juu ya miungu mingine yote.+
9 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote;+Wewe uko juu sana katika kupanda kwako, juu ya miungu mingine yote.+