Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na hakika Yehova atawatendea wao kama alivyowatendea Sihoni+ na Ogu,+ wafalme wa Waamori, na nchi yao, alipowaangamiza hao.+

  • Zaburi 135:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naam, Sihoni mfame wa Waamori+

      Na Ogu mfalme wa Bashani+

      Na falme zote za Kanaani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki