Hesabu 21:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+ Kumbukumbu la Torati 31:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na hakika Yehova atawatendea wao kama alivyowatendea Sihoni+ na Ogu,+ wafalme wa Waamori, na nchi yao, alipowaangamiza hao.+ Zaburi 135:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naam, Sihoni mfame wa Waamori+Na Ogu mfalme wa Bashani+Na falme zote za Kanaani,+
33 Baada ya hapo wakageuka, wakapanda wakipitia njia ya Bashani.+ Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka nje ili kukutana nao, yeye pamoja na watu wake wote, katika vita vya Edrei.+
4 Na hakika Yehova atawatendea wao kama alivyowatendea Sihoni+ na Ogu,+ wafalme wa Waamori, na nchi yao, alipowaangamiza hao.+