Zaburi 104:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Wote hao—wanaendelea kukungojea wewe+Ili uwape chakula chao wakati wa majira yake.+ Zaburi 145:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya wote yanakutazama yakiwa na tumaini,+Nawe unawapa chakula chao katika majirayake.+ Zaburi 147:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anawapa wanyama chakula chao,+Kunguru wachanga wanaoendelea kuita.+ Mathayo 5:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+