Obadia 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa sababu ya jeuri uliyomtendea ndugu yako Yakobo,+ aibu itakufunika,+ nawe utakatiliwa mbali mpaka wakati usio na kipimo.+ Obadia 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao. Mika 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Na sasa mataifa mengi yatakusanywa juu yako, wale wanaosema, ‘Acheni atiwe uchafu, nayo macho yetu yautazame Sayuni.’+
10 Kwa sababu ya jeuri uliyomtendea ndugu yako Yakobo,+ aibu itakufunika,+ nawe utakatiliwa mbali mpaka wakati usio na kipimo.+
12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.
11 “Na sasa mataifa mengi yatakusanywa juu yako, wale wanaosema, ‘Acheni atiwe uchafu, nayo macho yetu yautazame Sayuni.’+