Zaburi 66:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mungu na abarikiwe, ambaye hakuigeuzia mbali sala yangu,Wala fadhili zake zenye upendo mbali nami.+ Zaburi 115:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+ Zaburi 136:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
20 Mungu na abarikiwe, ambaye hakuigeuzia mbali sala yangu,Wala fadhili zake zenye upendo mbali nami.+
115 Sisi hatuna chochote, Ee Yehova, sisi hatuna chochote,+Bali jina lako ulitukuze+Kulingana na fadhili zako zenye upendo, kulingana na ukweli wako.+
136 Mshukuruni Yehova, kwa maana ni mwema:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+