Zaburi 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitajilaza nipate kulala usingizi;Hakika nitaamka, kwa maana Yehova anaendelea kunitegemeza.+ Zaburi 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nami, katika uadilifu nitauona uso wako;+Nitatosheka kuliona umbo lako ninapoamka.+ Zaburi 63:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati ninapokukumbuka kitandani mwangu,+Wakati wa makesha ya usiku natafakari juu yako.+