Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuondokee!+

      Nasi hatujaona upendezi wowote katika kuzijua njia zako.+

  • Zaburi 21:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+

      Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+

  • Zaburi 73:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Wao hudhihaki na kuzungumza juu ya yaliyo mabaya;+

      Wanazungumza juu ya upunjaji kwa majivuno.+

  • Methali 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yeyote anayepanga hila ya kufanya ubaya ataitwa fundi wa mawazo ya uovu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki