Ayubu 21:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuondokee!+Nasi hatujaona upendezi wowote katika kuzijua njia zako.+ Zaburi 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+ Zaburi 73:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wao hudhihaki na kuzungumza juu ya yaliyo mabaya;+Wanazungumza juu ya upunjaji kwa majivuno.+ Methali 24:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yeyote anayepanga hila ya kufanya ubaya ataitwa fundi wa mawazo ya uovu.+
14 Nao wanamwambia Mungu wa kweli, ‘Tuondokee!+Nasi hatujaona upendezi wowote katika kuzijua njia zako.+