Zaburi 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee Yehova, uniongoze katika uadilifu+ wako kwa sababu ya adui zangu;+Uifanye njia yako iwe laini mbele yangu.+ Zaburi 143:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana nimekutegemea wewe.+Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+ Zaburi 143:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Unifundishe kufanya mapenzi yako,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+Roho yako ni nzuri;+Na iniongoze katika nchi ya unyoofu.+
8 Ee Yehova, uniongoze katika uadilifu+ wako kwa sababu ya adui zangu;+Uifanye njia yako iwe laini mbele yangu.+
8 Asubuhi unifanye nisikie fadhili zako zenye upendo,+Kwa maana nimekutegemea wewe.+Unijulishe njia ninayopaswa kuitembea,+Kwa maana nimekuinulia nafsi yangu.+
10 Unifundishe kufanya mapenzi yako,+Kwa maana wewe ni Mungu wangu.+Roho yako ni nzuri;+Na iniongoze katika nchi ya unyoofu.+