Zaburi 31:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+ Zaburi 88:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Jicho langu mwenyewe limedhoofika kwa sababu ya mateso yangu.+Nimekuitia wewe, Ee Yehova, mchana kutwa;+Nimekunyooshea mikono yangu.+
17 Ee Yehova, nisiaibike, kwa maana nimekuita wewe.+Waovu na waaibike;+Na wakae kimya katika Kaburi.*+
9 Jicho langu mwenyewe limedhoofika kwa sababu ya mateso yangu.+Nimekuitia wewe, Ee Yehova, mchana kutwa;+Nimekunyooshea mikono yangu.+