2 Samweli 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Na sasa, Yehova Mungu, lile neno ambalo umesema kumhusu mtumishi wako na kuihusu nyumba yake ulifanye mpaka wakati usio na kipimo na ufanye kama ulivyosema.+ Zaburi 31:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nimekukimbilia wewe, Ee Yehova.+Ee nisiaibike kamwe.+Niokoe katika uadilifu wako.+ Zaburi 71:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unikomboe kwa uadilifu wako na kuniokoa.+Tega sikio lako kwangu na uniokoe.+
25 “Na sasa, Yehova Mungu, lile neno ambalo umesema kumhusu mtumishi wako na kuihusu nyumba yake ulifanye mpaka wakati usio na kipimo na ufanye kama ulivyosema.+