2 Samweli 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+ Zaburi 40:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+
3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+
2 Yehova ni mwamba wangu na ngome yangu na Mwokoaji wangu.+Mungu wangu ni mwamba wangu. Nitamkimbilia,+Ngao yangu na pembe yangu ya wokovu, kilele changu salama.+
17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+