2 Samweli 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata hivyo, wakuu wa wana wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao: “Je, Daudi anamheshimu baba yako machoni pako kwa kutuma kwako wafariji? Je, Daudi hakuwatuma watumishi wake kwako ili kulichunguza jiji na kulipeleleza+ na kulipindua?”+ Zaburi 73:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wameweka kinywa chao mbinguni,+Nao ulimi wao hutembea huku na huku duniani.+
3 Hata hivyo, wakuu wa wana wa Amoni wakamwambia Hanuni bwana wao: “Je, Daudi anamheshimu baba yako machoni pako kwa kutuma kwako wafariji? Je, Daudi hakuwatuma watumishi wake kwako ili kulichunguza jiji na kulipeleleza+ na kulipindua?”+