Zaburi 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+ Zaburi 73:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wao hudhihaki na kuzungumza juu ya yaliyo mabaya;+Wanazungumza juu ya upunjaji kwa majivuno.+ Zaburi 119:118 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 118 Umewarusha mbali wale wote wanaoondoka katika masharti yako;+Kwa maana ujanja wao ni uwongo.+
14 Tazama! Kuna mtu aliye na mimba ya jambo lenye kuumiza,+Naye amechukua mimba ya taabu na hatakosa kuzaa uwongo.+