Yoshua 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akawaambia wana wa Israeli: “Wana wenu watakapowauliza baba zao wakati ujao, wakisema, ‘Mawe haya yanamaanisha nini?’+ Zaburi 71:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+ Isaya 38:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako.
21 Naye akawaambia wana wa Israeli: “Wana wenu watakapowauliza baba zao wakati ujao, wakisema, ‘Mawe haya yanamaanisha nini?’+
18 Na mpaka wakati wa uzee na wa kuwa na kichwa chenye mvi, Ee Mungu, usiniache,+Mpaka nikitangazie kizazi habari za mkono wako,+Habari za nguvu zako, kwa wale wote watakaokuja.+
19 Aliye hai, aliye hai, ndiye anayeweza kukusifu,+Kama vile mimi ninavyoweza leo hii.+Baba anaweza kuwapa wanawe ujuzi+ kuhusu ukweli wako.