Zaburi 107:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watu na wamshukuru Yehova kwa ajili ya fadhili zake zenye upendo+Na kwa ajili ya kazi zake za ajabu kwa wana wa binadamu.+ Matendo 4:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+
21 Watu na wamshukuru Yehova kwa ajili ya fadhili zake zenye upendo+Na kwa ajili ya kazi zake za ajabu kwa wana wa binadamu.+
24 Waliposikia hayo wakampaazia Mungu+ sauti zao kwa umoja na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu,+ wewe Ndiye uliyefanya mbingu na dunia na bahari na vitu vyote vilivyomo,+