Zaburi 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+Kwa mwanamume asiye na kosa, wewe utatenda kwa njia isiyo na kosa;+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+
25 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+Kwa mwanamume asiye na kosa, wewe utatenda kwa njia isiyo na kosa;+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+