Zaburi 103:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+ Zaburi 104:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Watenda-dhambi watamalizwa kabisa kutoka duniani;+Nao waovu, hawatakuwapo tena.+Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu. Msifuni Yah!+
103 Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu,+Naam, kila kitu kilicho ndani yangu, na kilibariki jina lake takatifu.+
35 Watenda-dhambi watamalizwa kabisa kutoka duniani;+Nao waovu, hawatakuwapo tena.+Mbariki Yehova, Ee nafsi yangu. Msifuni Yah!+