Zaburi 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+ Ufunuo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+
33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+
5 Pia, sauti ikatoka katika kile kiti cha ufalme na kusema: “Muwe mkimsifu Mungu wetu, enyi nyote watumwa wake,+ ambao mnamwogopa, wadogo kwa wakubwa.”+