Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+

  • Zaburi 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+

      Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+

  • Zaburi 122:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ombeni kwa ajili ya amani ya Yerusalemu.+

      Wanaokupenda, Ee jiji, hawatakuwa na wasiwasi.+

  • Isaya 45:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kufanyiza nuru+ na kuumba giza,+ kufanya amani+ na kuumba msiba,+ mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.+

  • Isaya 60:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Badala ya shaba nitaingiza dhahabu,+ na badala ya chuma nitaingiza fedha, na badala ya miti, shaba, na badala ya mawe, chuma; nami nitaweka amani kuwa waangalizi+ wako na uadilifu kuwa wagawa-kazi wako.+

  • Waroma 15:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Mungu anayetoa amani na awe pamoja nanyi nyote.+ Amina.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki