Kumbukumbu la Torati 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 nchi ya ngano na shayiri na mizabibu na tini na makomamanga,+ nchi ya mizeituni ya mafuta na asali,+ Kumbukumbu la Torati 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+ Zaburi 81:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye ataendelea kumlisha mafuta ya ngano,+Na kutokana na mwamba nitakushibisha asali.”+ Zaburi 132:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Bila shaka nitavibariki vyakula vyake.+Maskini wake nitawashibisha kwa mkate.+
8 nchi ya ngano na shayiri na mizabibu na tini na makomamanga,+ nchi ya mizeituni ya mafuta na asali,+
14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+